pmbet

Mbwa maarufu afariki dunia

Sisti Herman

May 26, 2024
Share :

Mbwa maarufu zaidi kwenye mitandao ya kijamii aitwaye "Kabosu" amefariki akiwa na miaka 18.

Mbwa huyo amefariki nchini Japan na mmiliki wa mbwa huyo alifanya hafla ya kuagwa kwa maua iliyohudhuriwa na watu wengi huko Narita Japan.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet