Mchezo wa Yanga vs Azam kupigwa Visiwani Zanzibar.
Joyce Shedrack
June 15, 2026
Share :
Klabu ya Yanga imethibitisha rasmi kuwa mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Azam rasmi sasa utapigwa kwenye dimba la New Amaan Complex visiwani Zanzibar tarehe 24 June majira ya saa 10:00 jioni.

Yanga imewapeleka Azam New Amaan Complex kuamua Bingwa wa Ligi kuu ya NBC, Mechi itapigwa saa kumi jioni.





