pmbet

Mechi ya Simba na Mtibwa yaahirishwa kisa CAF CL

Sisti Herman

February 16, 2024
Share :

Bodi ya ligi kuu Tanzania bara (TPLB) imeahirisha mchezo namba 125 kati ya klabu ya Mtibwa dhidi ya Simba uliopangwa ufanyike February 18 siku ya jumapili  kwenye dimbaa la jamhuri morogoro  ili kuipa simba nafasi ya kujiandaa kuelekea nchini Ivory Coast kwenye wa ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Asec Mimosas, mchezo utakaopigwa tarehe February 23 siku ya ijumaa.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet