pmbet

Messi na Lamine Yamal vinara wa chenga Kombe la Dunia.

Joyce Shedrack

July 18, 2026
Share :

Lionel Messi na Lamine Yamal ndio wachezaji wawili pekee waliofanikiwa kukamilisha chenga na kukokota mpira'dribbling' zaidi ya 20 katika Kombe la Dunia 2026 wakionyesha ubora wao wa kipekee katika kuwapita mabeki.

FIFA World Cup 2026: It's a battle of the ages as Lionel Messi and Lamine  Yamal go head-to-head in historic showdown

Nahodha wa Argentina, Lionel Messi anaongoza orodha hiyo kwa kukamilisha chenga 25 huku nyota wa Hispania na Barcelona Lamine Yamal akifuatia kwa chenga 22.

 

Takwimu hizo zinaonyesha mchango mkubwa wa wachezaji hao wawili katika mafanikio ya timu zao kufika hatua ya fainali, ambapo wanatarajiwa kukutana katika pambano la kuwania taji la dunia siku ya kesho.

 

 

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet