Mido wa Man City ajiunga na timu ya Saudi Arabia
Sisti Herman
August 19, 2026
Share :

Kiungo wa timu ya taifa ya Uholanzi na klabu ya Manchster City Tijjani Reijnders amekamilisha uhamisho wa kudumu wa pauni milioni 52 (euro milioni 61) kutoka Manchester City kwenda klabu ya Al Qadsiah ya Ligi ya Pro ya Saudi Arabia.
Kiungo huyo fundi amesaini mkataba hadi mwaka 2031 chini ya kocha Brendan Rodgers.





