pmbet

Mimi ni shabiki wa Simba nisiyekata tamaa - Feruzi

Eric Buyanza

May 6, 2024
Share :

Mkongwe kunako muziki wa Bongofleva, Feruzi anasema anapenda kuishangilia Simba kwa kuwa iko ndani ya damu yake.

“Mimi ni shabiki wa Simba nisiyekata tamaa na nimeshawahi kwenda uwanjani mara kadhaa na katika timu huwa nawakubali sana wachezaji wanaofanya vizuri na kuipa ushindi timu yetu. Ila kuna huyu Kibu Dennis, Mohamend Hussein na Mzamiru huwa wananikosha sana,”.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet