Mjue dogo Tommy aliyewatandika mimba mabinti 16 kwa siku moja
Eric Buyanza
March 12, 2024
Share :
February 16 Mwaka 2016 itabaki kuwa siku ya kihistoria kwa kijana Tommy Coulter wa Florida nchini Marekani.
Siku hii hataisahau kwasababu ni siku ambayo aliwatandika ujauzito wasichana 16 kwa mpigo.
ILIKUAJE?
Inadaiwa kuwa Tommy alihudhuria sherehe ya kuzaliwa kwenye nyumba moja aliyokuwa amealikwa yeye pamoja na wageni wengine. Nyumba hiyo ilikuwa na Bwawa la kuogelea ambapo wageni wengi vijana wadogo walijichanganya humo kufurahia sherehe hiyo bila kujua masaa machache baadae ingekuja kugeuka janga kubwa katika maisha ya mabinti 16 wasio na hatia.
Tommy mwenyewe anakiri kwa kusema kwa 'bahati mbaya' alimwaga shahawa zake akiwa ndani ya bwawa hilo ambalo ndani yake kulikuwa na mabinti 35 waliokuwa wakiogelea ambao umri wao ulikadiriwa kuwa miaka 13 na 17.
Kati ya mabinti 35 waliokuwa kwenye bwawa hilo ni 16 pekee ndio waliokamata ujauzito wa Tommy.
MBEGU ZENYE NGUVU YA HALI YA JUU
Dk. John Suzukima wa Hospitali ya Tallahassee Memorial Healthcare, ambaye alikuwa wa kwanza kuhusishwa kwenye uchunguzi wa tukio hili, alisema kijana huyo ana hali ambayo si ya kawaida kiafya iitwayo 'Spermafortis' ambayo hufanya shahawa kuwa na nguvu isivyo kawaida.
Uchunguzi wa kimatibabu umethibitisha kuwa watu wenye hali hii 'Spermafortis' wana idadi ya manii (shahawa) karibu mara elfu zaidi kuliko mwanamume wa kawaida
Aina hii ya shahawa ni sawa na ile ya mamalia wa baharini kama vile Dolphins.