pmbet

Mjue shabiki wa Arsenal aliyemhadaa mkewe kwenye jina la mtoto

Eric Buyanza

March 19, 2024
Share :

Mwaka 2016 shabiki wa mpira wa miguu wa huko nchini Australia alifanikiwa kumhadaa mke wake na kumpa mtoto wao mpya jina 'LANESRA'. 

Ilimchukua mke wa jamaa huyo miaka miwili kuja kugundua utapeli aliofanyiwa na mume wake. 

UTAPELI GANI? 
Jina hilo alilopendekeza jamaa wampe mtoto wao, lilikuwa jina la timu yake pendwa ya ARSENAL, alichofanya ni kugeuza maneno na kupata jina 'LANESRA'..linaandika gazeti la The Guardian la nchini Uingereza.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet