pmbet

Mnyama avuna alama 3 dhidi ya Mbeya City.

Joyce Shedrack

June 17, 2026
Share :

Klabu ya Sima imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kwa bao la Elie Mpanzu katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara mchana wa leo.



Simba imepata ushindi wa bao 1-0 katika Uwanja wa Sokoine Mbeya na kufikisha pointi 64 kileleni mwa msimamo wa ligi ikiwashusha Yanga.
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet