pmbet

Moshi mweupe Taifa Stars kutwaa Kombe la CHAN.

Joyce Shedrack

July 22, 2025
Share :

Timu ya Taifa @taifastars_ inaongoza goli 1-0 dhidi ya Timu ya Taifa ya Uganda kwenye mashindano ya CECAFA yanayoshirikisha Nchi 3 kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya CHAN.

Goli pekee la Taifa Stars limefungwa na Iddy Nado dakika 14 ya kipindi cha kwanza cha mchezo huo.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet