Motsepe awasili Senegal kuzungumzia kizungumkuti cha Senegal
Sisti Herman
April 8, 2026
Share :

Rais wa CAF, Dkt Patrice Motsepe, amewasili Dakar, Senegal, Jumatano hii.
Alipokelewa na Rais wa shirikisho la mpira Senegal, Bwana Abdoulaye Fall, pamoja na viongozi wa mpira wa Senegal.
Motsepe yupo kwa ajili ya kuzungumza masuala ya mpira na yale ambayo yametokea kuhusu Senegal na Morocco.





