Mourinho awazuia Velverde na Tchoumeni Madrid
Sisti Herman
July 9, 2026
Share :

Kocha wa Real Madrid JosΓ© Mourinho anataka wachezaji Valverde na TchouamΓ©ni wote πππππΞ kama πππππππππ ππππππ kwenye klabu hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa ya Fabrizio Romano, TchouamΓ©ni ameshasaini mkataba mpya hadi mwaka 2031 na Valverde pia imetaarifiwa kuwa hatoondoka, kwani anachukuliwa kuwa mchezaji muhimu sana na JosΓ© Mourinho.
'The Special One' anataka masuala yote yatatuliwe na wachezaji muhimu wahusishwe katika mradi wake huko Real Madrid; uamuzi umeshafanyika kwa asilimia 100.





