pmbet

Mrundi wa Simba Queens ajiunga na Fountain

Sisti Herman

January 16, 2024
Share :

Mabingwa mara tatu wa ligi kuu wanawake Tanzania Simba Queens wamethibitisha kuwa kiungo wao mshambuliaji raia wa Burundi Marium Joele Bukuru amejiunga na klabu tajiri zaidi kwenye soka la wanawake Fountain Gate Princess ya Dodoma kwa mkopo wa hadi mwisho wa msimu.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet