pmbet

Msuva awasha moto Saudia

Sisti Herman

February 29, 2024
Share :

Mshambuliaji wa kimataifa ya Tanzania ambaye anacheza ligi daraja kwanza Saudia, Simon Msuva jana amefunga goli lake la kwanza kwenye mchezo wake wa kwanza akiwa na klabu ya Al-Najma SC kwenye mchezo wa ligi wakishinda 3-1 dhidi ya Al-Jandal na kuisaidia timu yake kubeba alama 3 muhimu.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet