Mtajiri wa Chamazi wanakazi ya kufanya Lake Tanganyika.
Joyce Shedrack
April 17, 2026
Share :
Mtajiri wa Chamazi Azam FC wamepangwa kucheza dhidi ya Mashujaa kwenye mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwenye uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma.
Mshindi wa mchezo huo atafuzu nusu fainali kucheza na mshindi wa mchezo wa JKT Tanzania vs Yanga.





