Mwamuzi Anthony Taylor astaafu rasmi kuchezesha soka
Sisti Herman
July 21, 2026
Share :

Mwamuzi mashuhuri wa Ligi Kuu ya Uingereza (Premier League) na FIFA, Anthony Taylor, ametangaza rasmi kustaafu kuchezesha soka la ushindani akiwa na umri wa miaka 47.
Maamuzi hayo yanahitimisha safari yake ya miaka 20 ya utofauti, huku mechi yake ya mwisho ikiwa ni mchezo wa hatua ya 16 bora katika Kombe la Dunia kati ya Uhispania na Ureno.





