Mzize na Kelvin John waachwa kikosi cha Stars AFCON
Sisti Herman
January 2, 2024
Share :
Kocha mkuu wa Taifa Stars Adel Amrouche raia wa Algeria, jana tarehe 1 Januari 2023 ametangaza majina ya wachezaji 31 wa timu ya Taifa inayojiandaa na michuano ya kombe la matifa ya Afrika (AFCON) huku akiacha mjadala mkubwa baada ya kuwaacha baadhi ya wachezaji vijana wanaofanya vizuri kama Ladack Chasambi na Clement na kuita wachezaji wanaocheza ligi za madaraja ya chini barani Ulaya.
Kocha huyo amethibutisha kuwa sababu za kutoitwa kwa mchezaji Kelvin John ni za kinidhamu na hatopenda kuziweka wazi, hiki hapa kikosi kilichoitwa;
1. | Aishi Manula |
2. | Kawawa |
3. | Beno Kakolanya |
4. | Bakari Mwamnyeto |
5. | Mohammed Hussein |
6. | Sospeter Bajana |
7. | Simon Msuva |
8. | Feisal Salum |
9. | Danilo |
10. | Lusajo Mwaikenda |
11. | Kibu Denis |
12. | Samatta Mbwana |
13. | Novatus Dismas |
14. | Himid Mao |
15. | Abdul Sopu |
16. | Abdi Banda |
17. | Twariq Yusuf |
18. | Haji Mnoga |
19. | Charles Kachwele |
20. | Metacha Mnata |
21. | Ben Starkie |
22. | Mudathir Yahaya |
23. | Ibrahim Bacca |
24. | Dickson Job |
25. | Charles M’mombwa |
26. | Abdul Malik |
27. | Tarryn Allarakhia |
28. | Khelfin Hamdon |
29. | Mzamiru Yasini |
30. | Morice Abraham |