pmbet

Nchimbi K/Mkuu mpya CCM

Sisti Herman

January 15, 2024
Share :

Chama Cha Mapinduzi kupitia kikao cha Wajumbe wake wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwa sauti moja wameridhia na kumpitisha Ndugu. Emmanuel John Nchimbi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM - Taifa).

Kikao hicho kimeketi leo tarehe 15 Januari, 2024 Kisiwani Zanzibar kikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

CCM inamtakia Dkt. Nchimbi utekelezaji mwema wa majukumu yake mapya.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet