Ndoa ya Liverpool na Arne Slot imevunjika rasmi.
Joyce Shedrack
May 30, 2026
Share :
Klabu ya Liverpool imetangaza kuachana na aliyekuwa kocha wao Mkuu Arne Slot kwa makubaliano ya pande zote mbili.

Slot ameiongoza Liverpool kutwaa ubingwa wa 20 wa Ligi Kuu ya Uingereza msimu uliopita na kufanikisha timu kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa misimu miwili mfululizo.





