Ni rasmi Rulani Mokwena aungana na Aziz Ki Al Ittihad ya Libya.
Joyce Shedrack
March 25, 2026
Share :

Klabu ya Al Ittihad ya Libya imetangaza rasmi Rulani Mokwena raia wa Afrika Kusini kuwa kocha wao mkuu akitokea klabu ya MC Alger ya Algeria.
Ikumbukwe,Al Ittihad ndiyo klabu anayoichezea nyota wa zamani wa Yanga Stephane Aziz Ki aliyejiunga nao akitokea Wydad AC.





