pmbet

Okrah na Yanga mambo fresh

Sisti Herman

December 28, 2023
Share :

Inasemekana klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa winga wa zamani wa Simba na Al Hilal Augustin Okrah kwa mkataba wa miaka miwili kutokea Benchem United ya nchini Ghana.

 

Okrah amekuwa na msimu bora tangu kurejea ligi ya Ghana.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet