pmbet

Onana atua Al Hilal kutoka Simba

Sisti Herman

August 21, 2024
Share :

Klabu ya Al Hilal Benghazi ya Libya imetangaza kukamilisha uhamisho wa aliyekuwa winga wa klabu ya Simba Leandre Willy Essomba Onana (24) raia wa Cameroon.

Onana jana kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii aliwashukuru na kuwaaga mashabiki, wananchama na familia nzima ya klabu ya Simba kwa wakati waliokuwa pamoja.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet