pmbet

Pacome ni mali ya Yanga hadi mwaka 2027.

Joyce Shedrack

July 24, 2025
Share :

Kiungo Mshambuliaji wa Yanga raia wa Ivory Coast Pacome Zouzoua ameongeza mkataba mpya wa kusalia klabuni hapo hadi mwaka 2027.
Pacome: Hatuna muda wa kupoteza, lengo alama tatu - SpotiLEO
Wananchi wanaendelea kuwatangaza nyota wao waliongeza mikataba na maingizo mapya kuelekea msimu mpya wa mashindano.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet