pmbet

Pape Thiaw aachishwa kazi rasmi Senegal

Sisti Herman

July 12, 2026
Share :

 

Pape Thiaw amefutwa kazi kama kocha mkuu wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Senegal, na kumaliza muda wa mkataba wake wa miezi 18 ya kazi kuisha.

Kufutwa kazi huko kunakuja baada ya Senegal kutolewa mapema kutoka Kombe la Dunia la FIFA la 2026, matokeo ambayo yalisababisha malalamiko ya umma ya kutaka aondolewe na, hatimaye, hatua kutoka kwa Shirikisho la Soka la Senegal.

Thiaw aliteuliwa katika nafasi hiyo mnamo Desemba 13, 2024, akiingia akiahidi kulipa taifa hilo taji la Afrika ambapo aliweza kufanya hivyo mapema mwezi Januari kabla ya kuporwa kikanuni na Morocco.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet