Pazito leo Afrika Kusini nani kutinga fainali ya CAFCL?.
Joyce Shedrack
April 18, 2026
Share :
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika inaendelea siku ya leo kwa michezo miwili ya mkondo wa pili wa nusu fainali ambapo Mabingwa mara nne wa michuano hiyo Esperance de Tunis atakuwa ugenini kuwakabili Mamelodi Sundowns katika dimba la Loftus Versfeld, Pretoria saa 10:00 jioni.

Esperance de Tunis ushindi wa aina yoyote ili kukata tiketi ya fainali baada ya kukubali kichapo cha goli 1-0 wakiwa nyumbani.
Nani atafuzu fainali ya mashindano hayo makubwa Afrika?.





