pmbet

Pesa za uwanja mlizochanga tumejenga ukuta - Mangungu

Sisti Herman

January 21, 2024
Share :

"Kama mnakumbuka mlichanga pesa kwa ajili ya ujenzi wa uwanja na pesa ile ilitumika kujenga ukuta wa uwanja wa Bunju na pesa zingine zilitumika kuimarisha kambi ya timu." "- Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu.

 

Mangungu ameyasema hayo kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa Simba uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC).

 

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet