pmbet

Pigo kubwa kwa Manchester United!

Eric Buyanza

December 28, 2023
Share :

Bei ya Joao Neves sasa inakaribia kufikia €150m huku Benfica ikiendelea na mazungumzo ya kuongeza nae mkataba, mazungumzo ambayo yanaweza kumlazimisha Erik ten Hag kutafuta mbadala.
 

Kiungo huyo wa kati wa Ureno mwenye umri wa miaka 19 amekuwa akihusishwa kuhamia Manchester United.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet