pmbet

Rais Brazil aomba hifadhi Argentina

Sisti Herman

August 31, 2025
Share :

 

Rais wa zamani wa Brazil, Jair Bolsonaro, anaripotiwa kuandika barua kwa Rais wa Argentina, Javier Milei, akiomba hifadhi ya kisiasa.

Polisi ya Shirikisho walisema barua hiyo ilipatikana kwenye simu ya Bolsonaro Februari mwaka jana, siku mbili baada ya passport yake ya kusafiri kushikiliwa. Haijulikani kama barua hiyo ilitumwa.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet