pmbet

Rais Samia aahidi uchaguzi mkuu wa huru na haki - Kinana

Eric Buyanza

March 6, 2024
Share :

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amewahakikishia watanzania kwamba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu mwakani utakuwa wa huru na wa haki.
 

Amesema dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha mchakato wa uchaguzi unakuwa huru na wa haki ili watu wapate fursa ya kuchagua viongozi wanaowataka.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet