pmbet

Rais wa PSG atamani mbape aendelee kubaki

Eric Buyanza

January 10, 2024
Share :

Rais wa Paris St-Germain Nasser Al-Khelaifi, anasema ana hamu kubwa ya kuendelea kumuona mshambuliaji Kylian Mbappe akiendelea kusalia kwenye kikosi cha mabingwa hao wa Ufaransa.
 

Al-Khelaifi anaamini Paris St-Germain bado ndio klabu bora kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ambaye kandarasi yake kwenye klabu hiyo inamalizika msimu wa majira ya joto.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet