pmbet

Raphinha ashinda tuzo ya mchezaji bora wa ligi kuu Hispania.

Joyce Shedrack

June 6, 2025
Share :

Mchezaji wa Barcelona na Timu ya Taifa ya Brazil Raphael Belloli maarufu Raphinha ametangazwa rasmi kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya Hispania laliga msimu wa 2024/25.

Goal Names Rafinha as Top Ballon d'Or Contender

Nyota huyo ambaye alionesha kiwango bora msimu uliopita na kuisaidia timu yake kutwaa ubingwa wa Nchi hiyo amemaliza msimu akiwa amefunga jumla ya magoli 18 na kutoa pasi 9 za magoli katika michezo 36 aliyocheza.

 

Raphinha anaungana na Lamine Yamal kutoka safu ya ushambuliaji ya Hans Flick ambao wamefanikiwa kutwaa tuzo za ligi kuu nchini humo mpaka sasa.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet