pmbet

Rema azua gumzo, aiteka Ufaransa

Joyce Shedrack

March 27, 2024
Share :

Wasanii kutoka Nigeria wanazidi kupasua anga kimataifa na sasa ni zamu ya Rapa Rema ambaye ameweka rekodi nchini Ufaransa baada ya album  yake ya ‘Rave and Roses’  kufikisha Units laki 5 na kuwa msanii wa pili kutoka Nigeria kuifikia rekodi hiyo.

 

Fuatilia zaidi kwenye video hapo chini.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet