Rihanna azua gumzo kisa utajiri wake kuporomoka ghafla.
Joyce Shedrack
June 5, 2025
Share :
Kwa Mujibu Wa jarida la Forbes, Utajiri Wa Mwanamuziki Rihanna umeshuka kwa 29% kutoka $1.4B (Tsh Trilioni 3.7/=) hadi $1B sawa na Trilioni 2.6.
Kuporomoka kwa utajiri wa msanii huyo kunahusishwa na changamoto za biashara zake za ‘Fenty Beauty Pamoja Na Savage X Feny’. licha ya changamoto hizo Rihanna bado ni Bilionea.
Hivyo Rihanna amebaki kuwa na utajiri wa Tsh Trilioni 2.6/=.