pmbet

Rodri aumiza kichwa cha Guardiola

Eric Buyanza

December 8, 2023
Share :

Takwimu za ligi kuu Uingereza zinaonyesha kuwa baada ya michezo 15 hadi sasa tayari  Manchester City wamepoteza michezo minne, huu ni mwanzo mbaya wa msimu tangu kufika kwa kocha Pep Guardiola kwenye klabu hiyo.
 

Moja kati ya sababu kubwa kwa kuanza msimu vibaya kwa City ni kuwakosa baadhi nyota wao muhimu kama Kelvin De Bruyne huku athari kubwa ikiwa mechi kumkosa kiungo wa mzuiaji Rodri ambaye mpaka sasa amekosa michezo minne na ndiyo hiyohiyo City waliyopoteza.
 

Guardiola ameonekana kuwajaribu viungo na mabeki wakati tofauti kwenye nafasi ya Rodri bila mafanikio.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet