pmbet

Ronaldo ni mashine, kucheza Saudia sio mwisho - Patrice Evra

Eric Buyanza

August 20, 2025
Share :

Beki wa zamani wa Ufaransa, Patrice Evra, amedokeza iko siku nahodha wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo atarudi kucheza soka la Ulaya.

Itakumbukwa kuelekea mwisho wa msimu wa 2024/2025, kulikuwa na uvumi kwamba Ronaldo anaweza kuondoka Al-Nassr.

Hata hivyo mwezi Juni aliwafunga mdomo wale waliokuwa wakieneza tetesi hizo kwa kusaini mkataba wa miaka miwili na Al-Nassr.

Akizungumza na Stake, Evra alisema: "Cristiano ni mashine. [Saudi Arabia] ni ukurasa mpya tu lakini sio mwisho. Usiseme 'NEVER' kuhusu Ulaya."
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet