pmbet

Rooney atimuliwa Birmingham

Sisti Herman

January 2, 2024
Share :

Klabu ya Birmingham City ya ligi daraja la kwanza nchini England imemtimua kocha wao mkuu aliyekuwa mchezaji na nahodha wa Manchester United Wyne Rooney sababu kubwa ikiwa ni matokeo mabaya.

 

Rooney aliichukua timu hiyo ikiwa nafasi ya 6 kwenye msimamo wa ligi hiyo, akaiongoza kwa mechi 16 tu kabla ya kutimuliwa kwa aibu huku akishinda mechi 2 na kuiacha ikiwa nafasi ya 20 kwenye msimamo wa ligi hiyo.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet