pmbet

Rulani atambulishwa rasmi kuwa kocha Mkuu Wydad

Sisti Herman

July 11, 2024
Share :

Klabu ya Wydad AC ya Morocco imemtambulisha rasmi aliyekuwa kocha Mkuu wa klabu ya Mamelod Sundowns Rulani Mokwena kuwa kocha wao Mkuu kwa misimu miwili ijayo.

Rulani amejiunga na Wydad wiki moja tu baada ya kuachwa na Mamelod baada ya kuingia kwenye mgogoro na Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu hiyo Flemming Berg.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet