pmbet

Safu mpya ya uongozi ACT Wazalendo hii hapa

Sisti Herman

March 7, 2024
Share :

Hii hapa safu ya uongozi ya Chama cha ACT-Wazalendo baada ya uchaguzi  mkuu wa chama uliotamatika Machi 6, 2024;
 

Kiongozi Mkuu wa Chama - Dorothy Semu

Mwenyekiti wa Chama -  Othman Masoud Othman

Makamu Mwenyekiti Bara - Issihaka Mchinjita

Makamu Mwenyekiti Zanzibar - Jussa Ismail

Katibu Mkuu - Ado Shaibu

Mwenyekiti wa Ngome ya vijana - Abdul Nondo

Mwenyekiti wa Ngome ya wanawake - Janeth Rithe

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet