pmbet

Saido ndo basi tena Simba

Sisti Herman

June 19, 2024
Share :

Saido Ntibazonkiza amemaliza mkataba wake Simba SC na leo rasmi Simba wametangaza kuwa hatokuwa sehemu ya kikosi chao kwa msimu ujao.

Saido anaondoka Simba akiwa mfungaji bora wa timu hiyo kwa misimu miwili mfululizo

2022/23 - magoli 17
2023/24 - magoli 11

Saido Ntibazonkiza amehusika katika mabao mengi (60 + ) zaidi ya mchezaji mwingine yeyote katika NBC Premier League tangu msimu wa 2020/21.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet