pmbet

Sakho avunjiwa mkataba Raja AC

Sisti Herman

September 16, 2026
Share :

 

Klabu ya Raja Casablanca ya Morocco imefikia makubaliano na mchezaji wao Pape Osmane Sakho kusitisha mkataba kwa makubaliano ya pande zote mbili.

Hatua hiyo itaiwezesha Raja kupata nafasi wazi ya kusajili mchezaji mwingine wa kigeni.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet