Santos wa Brazil atambulishwa rasmi Man United
Sisti Herman
July 13, 2026
Share :

Klabu ya Manchester United imetambulisha rasmi kiungo wa kati raia wa Brazil Andrey Snatos kutokea Chelsea.
Kiungo huyo alikuwa mmoja ya wachezaji waliochwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Brazil kushiriki kombe la dunia 2026 akiwa Joao Pedro.





