Seleman Mwalimu na Stephane Aziz Ki kuikosa Coastal Union leo.
Joyce Shedrack
August 20, 2026
Share :
Kiungo Aziz Ki pamoja na mshambuliaji Selemani Mwalimu wataukosa mchezo wa leo kati ya Yanga SC dhidi ya Coastal Union.

Aziz Ki yeye amesafiri kwenda kwao na Mwalimu ni mpango wa Kocha Manqoba Mngqithi.





