pmbet

Senegal inpitia kipindi kigumu kisa ukata wa fedha.

Joyce Shedrack

June 22, 2026
Share :

Timu ya taifa ya Senegal inapitia kipindi kigumu nje ya uwanja huku wakiwa kwenye michuano ya Kombe la Dunia ripoti zinaeleza kuwa nyota hao bado wanadai bonasi zao.

Senegal's World Cup jerseys to display just one Africa Cup star, not two -  Newsday

• Wachezaji bado hawajalipwa fedha zao za zawadi walizoahidiwa baada ya kushinda Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) na kufuzu kwa Kombe la Dunia.

 

• Kuna malalamiko kuhusu ubora duni wa hoteli iliyowekewa timu kwa ajili ya kambi yao ya mazoezi nchini Marekani.

 

• Pia hawakuambatana na mpishi mkuu wa timu kutokana na “bajeti ndogo” iliyotengwa na Shirikisho la Soka.

 

• Hali hiyo imewalazimu wachezaji kuagiza chakula chao wenyewe ili kuhakikisha wanakula vyakula vya afya.

 

• Kocha mkuu, Pape Thiaw, anaendelea kufanya kazi hadi leo bila mkataba rasmi na bado anadaiwa mshahara wa miezi sita.

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet