pmbet

Senegal kufungua mashtaka ya rushwa kisa kombe la AFCON 2025.

Joyce Shedrack

March 26, 2026
Share :

Senegal wamethibitisha kuwa watafungua mashtaka ya rushwa dhidi ya watu watano wa CAF huku uchunguzi ukiendelea kushika kasi kufuatia maamuzi ya Kamati ya Nidhamu ya CAF kuipa ushindi wa AFCON Morocco.

Senegal government alleges corruption over Afcon - Republic Online

Wakili wa Shirikisho la Soka la Senegal, Seidou Diagne, amesema kwamba:

• Uamuzi wa rufaa wa CAF HAUSEMII kuwa taji lazima lichukuliwe.

• Pia HAUTAKI medali zirudishwe.

• Hivyo basi, Senegal hawalazimiki kisheria kurudisha kombe hilo.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet