pmbet

Senne Lammens ndiye golikipa namba moja wa Man United kwa sasa

Eric Buyanza

August 14, 2026
Share :

Senne Lammens ndiye kipa namba moja wa Manchester United kwa sasa.
 

Klabu ya Manchester United imethibitisha rasmi kuwa kipa huyo raia wa Ubelgiji amekabidhiwa jezi namba 1 kwa ajili ya msimu mpya wa ligi wa 2026/2027.
 

Hatua hii inakuja baada ya kuondoka kwa kipa Altay Bayındır aliyekwenda Celta Vigo kwa mkopo.
 

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet