pmbet

Shalulile aitwa kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Namibia.

Joyce Shedrack

September 3, 2026
Share :

Mshambuliaji wa Yanga Peter Shalulile ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Namibia kitakachoshiriki mechi za kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2027.

Peter Shalulile scores as Manqoba Mngqithi's Yanga secure thumping win

Shalulile ambaye alijiunga na Yanga msimu huu akitokea Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini ni miongoni mwa wachezaji 29 walioitwa na kocha mkuu Collin Benjamin katika kikosi hicho.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet