Siku kama ya leo mwaka 2020, Bayern iliwanyoa Barca bao 8
Eric Buyanza
August 14, 2026
Share :
Siku kama ya leo (Tarehe 14 Agosti) mwaka 2020, Bayern Munich iliushangaza ulimwengu wa soka kwa kuitandika Barcelona mabao 8️-2️ katika mchezo wa kihistoria wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League).
Mchezo huo ulichezwa katika uwanja wa Estádio da Luz mjini Lisbon, nchini Ureno.






