Simba Queens yaendelea kushusha mashine za kazi.
Joyce Shedrack
July 28, 2026
Share :
Klabu ya Simba Queens imemtambulisha mchezaji wake mpya raia wa DR Congo 🇨🇩 , Kusamfula Rida kutokea klabu ya CSF Bikira ya nchini Congo.

Kusamfula ataitumikia klabu ya Simba Queens kuanzia michuano ya klabu Bingwa Wanawake ukanda wa Cecafa kule Rwanda.





