pmbet

Simba wahamia Moro

Sisti Herman

March 5, 2024
Share :

Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amethibitisha kuwa klabu hiyo itatumia Uwanja wa CCM Jamhuri Morogoro kama uwanja wao wa nyumbani na itaanza na Prisons Machi 6, 2024.

Simba itatumia uwanja huo kwa mechi zake za nyumbani baada ya Uwanja wa Uhuru waliokuwa wakiutumia hapo awali kufungwa kwaajili ya maboresho.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet