pmbet

Simba wamsajili mrithi wa Inonga

Sisti Herman

July 7, 2024
Share :

Klabu ya Simba imethibitisha kumsajili beki wa kati Chamou Karaboue raia wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 24 kutoka klabu ya Racing Club Abidjan kwa mkataba wa miaka miwili.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet